1
Mattayo MT. 8:26
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Akawaambia, Mbona mu waoga, enyi wa imani haba? Marra akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.
مقایسه
Mattayo MT. 8:26 را جستجو کنید
2
Mattayo MT. 8:8
Akida akamjibu, akasema, Si stahili yangu wewe uingie chini ya dari yangu: lakini sema neno tu, na mtumishi wangu atapona.
Mattayo MT. 8:8 را جستجو کنید
3
Mattayo MT. 8:10
Yesu aliposikia haya, akastaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa kama hii, hatta katika Israeli.
Mattayo MT. 8:10 را جستجو کنید
4
Mattayo MT. 8:13
Yesu akamwambia akida, Nenda zako: na kadiri ulivyoamini upate. Mtumishi wake akapona saa ileile.
Mattayo MT. 8:13 را جستجو کنید
5
Mattayo MT. 8:27
Wale watu wakastaajabu, wakinena. Huyo ni mtu wa namna gani hatta pepo na bahari zamtii?
Mattayo MT. 8:27 را جستجو کنید
خانه
كتاب مقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها