1
Mwanzo 4:7
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Je, ukitenda vyema hutakubaliwa? Na usipotenda vyema, basi, dhambi inakuvizia mlangoni; inakutamani, lakini unapaswa kuishinda.”
مقایسه
Mwanzo 4:7 را جستجو کنید
2
Mwanzo 4:26
Sethi naye alipata mtoto wa kiume, akamwita Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kumwomba Mwenyezi-Mungu kwa jina lake.
Mwanzo 4:26 را جستجو کنید
3
Mwanzo 4:9
Mwenyezi-Mungu akamwuliza Kaini, “Ndugu yako Abeli yuko wapi?” Kaini akamjibu, “Mimi sijui! Je, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”
Mwanzo 4:9 را جستجو کنید
4
Mwanzo 4:10
Mwenyezi-Mungu akasema, “Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni.
Mwanzo 4:10 را جستجو کنید
5
Mwanzo 4:15
Lakini Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Sivyo! Atakayekuua wewe Kaini atalipizwa mara saba.” Basi, Mwenyezi-Mungu akamtia Kaini alama ya tahadhari, ili yeyote atakayemwona asimuue.
Mwanzo 4:15 را جستجو کنید
خانه
كتاب مقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها