1
2 The 1:11
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Kwa hiyo twawaombea ninyi sikuzote, ili Mungu wetu awahesabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu
Comparar
Explorar 2 The 1:11
2
2 The 1:6-7
Kwa kuwa ni haki mbele za Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi; na kuwalipa ninyi mteswao raha pamoja na sisi; wakati wa kufunuliwa kwake Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika wa uweza wake
Explorar 2 The 1:6-7
Inicio
Biblia
Planes
Videos