1
1 The 1:2-3
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Twamshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu nyote, tukiwataja katika maombi yetu. Wala hatuachi kuikumbuka kazi yenu ya imani, na taabu yenu ya upendo, na saburi yenu ya tumaini lililo katika Bwana wetu Yesu Kristo, mbele za Mungu Baba yetu.
Comparar
Explorar 1 The 1:2-3
2
1 The 1:6
Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, mkiisha kulipokea neno katika dhiki nyingi, pamoja na furaha ya Roho Mtakatifu.
Explorar 1 The 1:6
Inicio
Biblia
Planes
Videos