1
Mwanzo 32:28
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Naye akamwuliza: “Jina lako nani?” Yeye akamujibu: “Yakobo.”
Compare
Explore Mwanzo 32:28
2
Mwanzo 32:26
Mutu yule alipoona kwamba hawezi kumushinda Yakobo, alimugusa Yakobo kwenye maunganio ya kiuno, naye akateguka alipokuwa anapigana naye.
Explore Mwanzo 32:26
3
Mwanzo 32:24
Kisha kuwavukisha ngambo ya kijito wale waliokuwa nao na mali yake yote
Explore Mwanzo 32:24
4
Mwanzo 32:30
Halafu Yakobo akamwambia: “Tafazali, ninakuomba uniambie jina lako.” Lakini yeye akamwambia: “Kwa nini kuniuliza jina langu?” Kisha akamubariki Yakobo.
Explore Mwanzo 32:30
5
Mwanzo 32:25
Yakobo akabaki peke yake. Kisha mutu mumoja akakuja, akapigana naye mpaka asubui.
Explore Mwanzo 32:25
6
Mwanzo 32:27
Kisha yule mutu akamwambia Yakobo: “Uniache nijiendee, maana kunapambazuka.” Lakini Yakobo akamwambia: “Sitakuacha hata kidogo, mpaka umenibariki!”
Explore Mwanzo 32:27
7
Mwanzo 32:29
Yule mutu akamwambia: “Hautaitwa Yakobo tena, lakini Israeli, kwa sababu umeshindana na Mungu na wanadamu, ukashinda.”
Explore Mwanzo 32:29
8
Mwanzo 32:10
Kisha Yakobo akamwomba Mungu akisema: “Ee Mungu wa babu yangu Abrahamu, Mungu wa baba yangu Isaka! Ewe Yawe uliyeniambia nirudi katika inchi yangu kwa jamaa yangu, ukaniahidi kunitendea mema
Explore Mwanzo 32:10
9
Mwanzo 32:32
Jua lilikuwa limekwisha kupanda wakati Yakobo alipoondoka Penueli, akakuwa anachechemea kwa sababu ya kiuno chake.
Explore Mwanzo 32:32
10
Mwanzo 32:9
akifikiri: “Kama Esau akikuja na kuliangamiza kundi moja, basi, kundi litakalobaki litaponyoka.”
Explore Mwanzo 32:9
11
Mwanzo 32:11
sistahili hata kidogo wema wote na uaminifu wote ulionitendea mimi mutumishi wako. Nilipovuka muto Yordani, sikukuwa na kitu isipokuwa fimbo; lakini sasa nina makundi haya mawili.
Explore Mwanzo 32:11
Home
Bible
Plans
Videos