1
Mithali 8:35
Swahili Revised Union Version
Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.
Compare
Explore Mithali 8:35
2
Mithali 8:13
Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Explore Mithali 8:13
3
Mithali 8:10-11
Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, Na maarifa kuliko dhahabu safi. Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.
Explore Mithali 8:10-11
Home
Bible
Plans
Videos