1
Mhubiri 4:9-10
Swahili Revised Union Version
Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja; Kwa sababu wana tuzo njema kwa kazi yao. Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua!
Compare
Explore Mhubiri 4:9-10
2
Mhubiri 4:12
Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watamstahimili; wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi.
Explore Mhubiri 4:12
3
Mhubiri 4:11
Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kupata moto?
Explore Mhubiri 4:11
4
Mhubiri 4:6
Heri konzi moja pamoja na utulivu, Kuliko konzi mbili pamoja na taabu; na kufukuza upepo.
Explore Mhubiri 4:6
5
Mhubiri 4:4
Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.
Explore Mhubiri 4:4
6
Mhubiri 4:13
Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.
Explore Mhubiri 4:13
Home
Bible
Plans
Videos