1
Zab 106:1
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.
Compare
Explore Zab 106:1
2
Zab 106:3
Heri washikao hukumu, Na kutenda haki sikuzote.
Explore Zab 106:3
3
Zab 106:4-5
Ee BWANA, unikumbuke mimi, Kwa kibali uliyo nayo kwa watu wako. Unijilie kwa wokovu wako, Ili niuone wema wa wateule wako. Nipate kuifurahia furaha ya taifa lako, Na kujisifu pamoja na watu wako.
Explore Zab 106:4-5
YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy
Home
Bible
Plans
Videos