1
Yohane 12:26
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Anayetaka kunitumikia ni lazima anifuate, hivyo kwamba popote pale nilipo mimi ndipo na mtumishi wangu atakapokuwa. Mtu yeyote anayenitumikia Baba yangu atampa heshima.
Сравни
Разгледайте Yohane 12:26
2
Yohane 12:25
Anayependa maisha yake, atayapoteza; anayeyachukia maisha yake katika ulimwengu huu, atayaweka kwa ajili ya uhai wa milele.
Разгледайте Yohane 12:25
3
Yohane 12:24
Kweli nawaambieni, punje ya ngano hubaki punje tu isipokuwa ikianguka katika udongo na kufa. Kama ikifa, basi huzaa matunda mengi.
Разгледайте Yohane 12:24
4
Yohane 12:46
Mimi ni mwanga, nami nimekuja ulimwenguni ili wote wanaoniamini wasibaki gizani.
Разгледайте Yohane 12:46
5
Yohane 12:47
Anayeyasikia maneno yangu lakini hayashiki, mimi sitamhukumu; maana sikuja kuuhukumu ulimwengu bali kuuokoa.
Разгледайте Yohane 12:47
6
Yohane 12:3
Basi, Maria alichukua nusu lita ya marashi ya nardo safi ya thamani kubwa, akampaka Yesu miguu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba yote ikajaa harufu ya marashi.
Разгледайте Yohane 12:3
7
Yohane 12:13
Basi, wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki; wakapaza sauti wakisema: “Sifa! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana. Abarikiwe mfalme wa Israeli.”
Разгледайте Yohane 12:13
8
Yohane 12:23
Yesu akawaambia, “Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mtu imefika!
Разгледайте Yohane 12:23
Начало
Библия
Планове
Видеа