1
Lk 17:19
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Akamwambia, Inuka, enenda zako, imani yako imekuokoa.
قارن
اكتشف Lk 17:19
2
Lk 17:4
Na kama akikukosa mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.
اكتشف Lk 17:4
3
Lk 17:15-16
Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu; akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
اكتشف Lk 17:15-16
4
Lk 17:3
Jilindeni; kama ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu msamehe.
اكتشف Lk 17:3
5
Lk 17:17
Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale kenda wa wapi?
اكتشف Lk 17:17
6
Lk 17:6
Bwana akasema, Kama mngekuwa na imani kiasi cha chembe ya haradali, mngeuambia mkuyu huu, Ng’oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.
اكتشف Lk 17:6
7
Lk 17:33
Mtu ye yote atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza; na ye yote atakayeiangamiza ataiponya.
اكتشف Lk 17:33
8
Lk 17:1-2
Akawaambia wanafunzi wake, Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye yaja kwa sababu yake! Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa.
اكتشف Lk 17:1-2
9
Lk 17:26-27
Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa katika siku zake Mwana wa Adamu. Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.
اكتشف Lk 17:26-27
الصفحة الرئيسية
الكتاب المقدس
خطط
فيديو