1
Lk 16:10
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo dogo, huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.
قارن
اكتشف Lk 16:10
2
Lk 16:13
Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana, ama atamchukia huyu na kumpenda huyu, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.
اكتشف Lk 16:13
3
Lk 16:11-12
Basi, kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu, ni nani atakayewapa amana mali ya kweli? Na kama hamkuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
اكتشف Lk 16:11-12
4
Lk 16:31
Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
اكتشف Lk 16:31
5
Lk 16:18
Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini; naye amwoaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.
اكتشف Lk 16:18
الصفحة الرئيسية
الكتاب المقدس
خطط
فيديو