1
Lk 12:40
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Nanyi jiwekeni tayari, kwa kuwa saa msiyodhani ndipo ajapo Mwana wa Adamu.
አወዳድር
{{ጥቅስ}} ያስሱ
2
Lk 12:31
Bali utafuteni ufalme wa Mungu, na hayo mtaongezewa.
3
Lk 12:15
Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo.
4
Lk 12:34
Kwa kuwa hazina yenu ilipo, ndipo itakapokuwapo na mioyo yenu.
5
Lk 12:25
Na yupi kwenu ambaye akijisumbua aweza kujiongeza kimo chake hata mkono mmoja?
6
Lk 12:22
Akawaambia wanafunzi wake, Kwa sababu hiyo nawaambia, Msisumbukie maisha yenu, mtakula nini; wala miili yenu, mtavaa nini.
7
Lk 12:7
Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope basi, bora ninyi kuliko mashomoro wengi.
8
Lk 12:32
Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme.
9
Lk 12:24
Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, na Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!
10
Lk 12:29
Ninyi msitafute mtakavyokula wala mtakavyokunywa; wala msifanye wasiwasi
11
Lk 12:28
Basi, ikiwa Mungu huvika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatawatendea ninyi zaidi, enyi wa imani haba?
12
Lk 12:2
Lakini hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa, wala lililofichwa ambalo halitajulikana.
ቤት
መጽሐፍ ቅዱስ
እቅዶች
ቪዲዮዎች