1
Lk 11:13
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Basi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema, je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu hao wamwombao?
አወዳድር
{{ጥቅስ}} ያስሱ
2
Lk 11:9
Nami nawaambia, Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa.
3
Lk 11:10
Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
4
Lk 11:2
Akawaambia, Msalipo, semeni, Baba [yetu uliye mbinguni], Jina lako litakaswe, Ufalme wako uje, [Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.]
5
Lk 11:4
Utusamehe dhambi zetu, kwa kuwa sisi nasi tunamsamehe kila tumwiaye. Na usitutie majaribuni [lakini tuokoe na yule mwovu].
6
Lk 11:3
Utupe siku kwa siku riziki yetu.
7
Lk 11:34
Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote unao mwanga; lakini likiwa bovu, mwili wako nao una giza.
8
Lk 11:33
Hakuna mtu awashaye taa na kuiweka mahali palipositirika, au chini ya pishi; bali huiweka juu ya kiango, ili waingiao wapate kuuona mwanga.
ቤት
መጽሐፍ ቅዱስ
እቅዶች
ቪዲዮዎች