Mwanzo 50:17

Mwanzo 50:17 SCLDC10

‘Mwambieni Yosefu kwa niaba yangu: Tafadhali uwasamehe ndugu zako makosa yao mabaya na maovu yote waliyokutendea.’ Sasa basi, tafadhali usamehe uovu tuliokutendea sisi watumishi wa Mungu wa baba yako.” Yosefu alipopata ujumbe huu, alilia.

Video vir Mwanzo 50:17

Gratis leesplanne en oordenkings oor Mwanzo 50:17