Mwanzo 1:9-10

Mwanzo 1:9-10 NMM

Mwenyezi Mungu akasema, “Maji yaliyopo chini ya anga na yakusanyike mahali pamoja, pawepo na nchi kavu.” Ikawa hivyo. Mwenyezi Mungu akaiita nchi kavu “ardhi,” nalo lile kusanyiko la maji akaliita “bahari.” Mwenyezi Mungu akaona kuwa ni vyema.

Funda Mwanzo 1

Uhlelo Lwamahhala Lokufunda nokuthandaza okuhlobene ne Mwanzo 1:9-10