YouVersion 标志
圣经计划视频
获取软件
选择语言
搜索图标

Mwanzo 2 的热门经文

1

Mwanzo 2:24

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Ndiyo maana mwanamume humwacha baba yake na mama yake, akaambatana na mkewe, nao wawili huwa mwili mmoja.

对照

探索 Mwanzo 2:24

2

Mwanzo 2:18

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Si vizuri huyu mwanamume kuwa peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

对照

探索 Mwanzo 2:18

3

Mwanzo 2:7

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.

对照

探索 Mwanzo 2:7

4

Mwanzo 2:23

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Ndipo huyo mwanamume akasema, “Naam! Huyu ni mfupa kutoka mifupa yangu, na nyama kutoka nyama yangu. Huyu ataitwa ‘Mwanamke’, kwa sababu ametolewa katika mwanamume.”

对照

探索 Mwanzo 2:23

5

Mwanzo 2:3

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alipumzika baada ya kazi yake yote ya kuumba.

对照

探索 Mwanzo 2:3

6

Mwanzo 2:25

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Huyo mwanamume na mkewe wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

对照

探索 Mwanzo 2:25

上一章
下一章
YouVersion

我们要鼓励、挑战你每天亲近上帝。

事工

关于我们

就职机会

义工

博客

新闻区

有用链接

帮助

捐赠

圣经译本

音频圣经

译本语言

今日经文


此数字事工属于

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

隐私政策使用条款
漏洞披露方案
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

主页

圣经

计划

视频