YouVersion 标志
圣经计划视频
获取软件
选择语言
搜索图标

Mathayo 4 的热门经文

1

Mathayo 4:4

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

Yesu akajibu, “Maandiko yanasema, ‘Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila Neno linalotoka katika kinywa cha Mungu.’”

对照

探索 Mathayo 4:4

2

Mathayo 4:10

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

Yesu akamjibu Shetani akamwambia, “Ondoka kwangu Shetani! Kwani Maandiko yanasema, ‘Umwabudu Bwana Mungu wako na umtumikie yeye peke yake!’”

对照

探索 Mathayo 4:10

3

Mathayo 4:7

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

Yesu akamjibu, “Pia, Maandiko yanasema, ‘usimjaribu Bwana Mungu wako.’”

对照

探索 Mathayo 4:7

4

Mathayo 4:1-2

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

Kisha Roho Mtakatifu akamwongoza Yesu hadi nyikani ili akajaribiwe na Shetani. Baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini mchana na usiku, akaumwa njaa sana.

对照

探索 Mathayo 4:1-2

5

Mathayo 4:19-20

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

Yesu akawaambia, “Njooni, mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa aina nyingine. Nitawafundisha jinsi ya kukusanya watu badala ya samaki.” Mara moja, Simoni na Andrea wakaziacha nyavu zao na kumfuata Yesu papo hapo.

对照

探索 Mathayo 4:19-20

6

Mathayo 4:17

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaambia watu ujumbe wake unaosema, “Mbadili mioyo yenu na maisha yenu pia, kwa sababu Ufalme wa Mungu umewafikia.”

对照

探索 Mathayo 4:17

上一章
下一章
YouVersion

我们要鼓励、挑战你每天亲近上帝。

事工

关于我们

就职机会

义工

博客

新闻区

有用链接

帮助

捐赠

圣经译本

音频圣经

译本语言

今日经文


此数字事工属于

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

隐私政策使用条款
漏洞披露方案
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

主页

圣经

计划

视频