1
Yohane 20:21-22
Biblia Habari Njema
Yesu akawaambia tena, “Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma nyinyi.” Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu.
Karşılaştır
Yohane 20:21-22 keşfedin
2
Yohane 20:29
Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.”
Yohane 20:29 keşfedin
3
Yohane 20:27-28
Kisha akamwambia Thoma, “Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka, ila amini!” Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
Yohane 20:27-28 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar