1
Yohane 11:25-26
Biblia Habari Njema
Yesu akamwambia, “Mimi ndimi ufufuo na uhai. Anayeniamini mimi hata kama anakufa, ataishi; na kila anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?”
Karşılaştır
Yohane 11:25-26 keşfedin
2
Yohane 11:40
Yesu akamwambia, “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”
Yohane 11:40 keşfedin
3
Yohane 11:35
Yesu akalia machozi.
Yohane 11:35 keşfedin
4
Yohane 11:4
Yesu aliposikia hivyo, akasema, “Ugonjwa huo hautaleta kifo, ila ni kwa ajili ya kumtukuza Mungu; ameugua ili kwa njia hiyo Mwana wa Mungu atukuzwe.”
Yohane 11:4 keşfedin
5
Yohane 11:43-44
Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro! Toka nje!” Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, “Mfungueni, mkamwache aende zake.”
Yohane 11:43-44 keşfedin
6
Yohane 11:38
Basi, Yesu akiwa amehuzunika tena moyoni, akafika kaburini. Kaburi lenyewe lilikuwa pango, na lilikuwa limefunikwa kwa jiwe.
Yohane 11:38 keşfedin
7
Yohane 11:11
Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, “Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha.”
Yohane 11:11 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar