1
Yohane 1:12
Biblia Habari Njema
Lakini wale waliompokea, wale waliomwamini, aliwapa uwezo wa kuwa watoto wa Mungu
Karşılaştır
Yohane 1:12 keşfedin
2
Yohane 1:1
Hapo mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu.
Yohane 1:1 keşfedin
3
Yohane 1:5
Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.
Yohane 1:5 keşfedin
4
Yohane 1:14
Naye Neno akawa mwanadamu, akakaa kwetu. Nasi tumeuona utukufu wake, utukufu wake yeye aliye Mwana wa pekee wa Baba; amejaa neema na ukweli.
Yohane 1:14 keşfedin
5
Yohane 1:3-4
Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye. Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu.
Yohane 1:3-4 keşfedin
6
Yohane 1:29
Kesho yake, Yohane alimwona Yesu akimjia, akasema, “Huyu ndiye Mwanakondoo wa Mungu aondoaye dhambi ya ulimwengu!
Yohane 1:29 keşfedin
7
Yohane 1:10-11
Basi, Neno alikuwako ulimwenguni, na kwa njia yake ulimwengu uliumbwa, lakini ulimwengu haukumtambua. Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.
Yohane 1:10-11 keşfedin
8
Yohane 1:9
Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.
Yohane 1:9 keşfedin
9
Yohane 1:17
Maana Mungu alitoa sheria kwa njia ya Mose, nayo neema na kweli vimetujia kwa njia ya Yesu Kristo.
Yohane 1:17 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar