1
Mwanzo 19:26
Biblia Habari Njema
Lakini mkewe Loti aliyekuwa nyuma ya Loti, akatazama nyuma, akageuka nguzo ya chumvi.
Karşılaştır
Mwanzo 19:26 keşfedin
2
Mwanzo 19:16
Loti akawa anasitasita. Lakini kwa vile Mwenyezi-Mungu alivyomhurumia Loti, wale malaika wakamshika yeye, mkewe na binti zake wawili, wakamtoa nje ya mji.
Mwanzo 19:16 keşfedin
3
Mwanzo 19:17
Walipowatoa nje ya mji, malaika mmoja wao akawaambia, “Kimbieni kwa usalama wenu. Msiangalie nyuma wala kusimama popote bondeni. Kimbilieni milimani, msije mkaangamia.”
Mwanzo 19:17 keşfedin
4
Mwanzo 19:29
Mungu alipoiangamiza miji ya bondeni alimokuwa anakaa Loti, alimkumbuka Abrahamu kwa kumtoa Loti katika miji hiyo, ili Loti asije akaangamia pamoja nayo.
Mwanzo 19:29 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar