1
Luka MT. 21:36
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.
Karşılaştır
Luka MT. 21:36 keşfedin
2
Luka MT. 21:34
Bassi, jiangalieni, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi na ulevi, na masumbufu ya maisha haya
Luka MT. 21:34 keşfedin
3
Luka MT. 21:19
Kwa subira yenu mtazipata robo zenu.
Luka MT. 21:19 keşfedin
4
Luka MT. 21:15
Kwa maana mimi nitawapeni kinywa na hekima, ambayo watesi wenu hawataweza kuikana wala kushindana nayo.
Luka MT. 21:15 keşfedin
5
Luka MT. 21:33
Mbingu na inchi zitapita; bali maneno yangu hayatapita kamwe.
Luka MT. 21:33 keşfedin
6
Luka MT. 21:25-27
Na kutakuwa ishara katika jua na mwezi na nyota: na katika inchi dhiiki ya mataifa, wakishangaa kwa uvumi wa bahari na msukosuko wake; watu wakizimia kwa khofu, na kwa kutazamia yanayoujia ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikisika. Ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika wingu kwa nguvu na utukufu mwingi.
Luka MT. 21:25-27 keşfedin
7
Luka MT. 21:17
Mtachukizwa na watu wote kwa ajili ya jina langu.
Luka MT. 21:17 keşfedin
8
Luka MT. 21:11
kutakuwa na matetemeko makubwa ya inchi mahali mahali, na njaa, na tauni. Kutakuwa na mambo ya kutisha, na ishara kuu kutoka mbinguni.
Luka MT. 21:11 keşfedin
9
Luka MT. 21:9-10
Nanyi mtakaposikia khabari za vita na fitina msitishwe: maana haya hayana buddi kutukia kwanza, lakini mwisho wenyewe hauji marra moja. Kiisha akawaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme
Luka MT. 21:9-10 keşfedin
10
Luka MT. 21:25-26
Na kutakuwa ishara katika jua na mwezi na nyota: na katika inchi dhiiki ya mataifa, wakishangaa kwa uvumi wa bahari na msukosuko wake; watu wakizimia kwa khofu, na kwa kutazamia yanayoujia ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikisika.
Luka MT. 21:25-26 keşfedin
11
Luka MT. 21:10
Kiisha akawaambia, Taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme
Luka MT. 21:10 keşfedin
12
Luka MT. 21:8
Akasema, Jibadharini, msidanganyike; kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakinena, Mimi ndiye, na, Majira yamekaribia. Bassi, msiwafuate hawo.
Luka MT. 21:8 keşfedin
YouVersion, deneyiminizi kişiselleştirmek için tanımlama bilgileri kullanır. Web sitemizi kullanarak, Gizlilik Politikamızda açıklandığı şekilde çerez kullanımımızı kabul etmiş olursunuz
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar