1
Yn 7:38
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Aniaminiye mimi, kama vile maandiko yalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake.
Karşılaştır
Yn 7:38 keşfedin
2
Yn 7:37
Hata siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama, akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe.
Yn 7:37 keşfedin
3
Yn 7:39
Na neno hilo alilisema katika habari ya Roho, ambaye wale wamwaminio watampokea baadaye; kwa maana Roho alikuwa hajaja, kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa.
Yn 7:39 keşfedin
4
Yn 7:24
Basi msihukumu hukumu ya macho tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.
Yn 7:24 keşfedin
5
Yn 7:18
Yeye anenaye kwa nafsi yake tu hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anayetafuta utukufu wake aliyempeleka, huyo ni wa kweli, wala ndani yake hamna udhalimu.
Yn 7:18 keşfedin
6
Yn 7:16
Basi Yesu akawajibu, akasema, Mafunzo yangu si yangu mimi, ila ni yake yeye aliyenipeleka.
Yn 7:16 keşfedin
7
Yn 7:7
Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi; bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.
Yn 7:7 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar