1
Yn 14:27
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga.
Karşılaştır
Yn 14:27 keşfedin
2
Yn 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yn 14:6 keşfedin
3
Yn 14:1
Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.
Yn 14:1 keşfedin
4
Yn 14:26
Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Yn 14:26 keşfedin
5
Yn 14:21
Yeye aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendaye; naye anipendaye atapendwa na Baba yangu; nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.
Yn 14:21 keşfedin
6
Yn 14:16-17
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele; ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu.
Yn 14:16-17 keşfedin
7
Yn 14:13-14
Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
Yn 14:13-14 keşfedin
8
Yn 14:15
Mkinipenda, mtazishika amri zangu.
Yn 14:15 keşfedin
9
Yn 14:2
Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.
Yn 14:2 keşfedin
10
Yn 14:3
Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.
Yn 14:3 keşfedin
11
Yn 14:5
Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?
Yn 14:5 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar