1
Mwa 4:7
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde.
Karşılaştır
Mwa 4:7 keşfedin
2
Mwa 4:26
Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la BWANA.
Mwa 4:26 keşfedin
3
Mwa 4:9
BWANA akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?
Mwa 4:9 keşfedin
4
Mwa 4:10
Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.
Mwa 4:10 keşfedin
5
Mwa 4:15
BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.
Mwa 4:15 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar