1
Luka 23:34
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
Yesu akasema, “Baba, wasamehe, kwa maana hawajui walitendalo!” Wakagawana nguo zake kwa kupiga kura.
Karşılaştır
Luka 23:34 keşfedin
2
Luka 23:43
Yesu akamjibu, “Amin, nakuambia, leo utakuwa pamoja nami Paradiso.”
Luka 23:43 keşfedin
3
Luka 23:42
Kisha akasema, “Yesu, unikumbuke utakapokuja katika ufalme wako.”
Luka 23:42 keşfedin
4
Luka 23:46
Yesu akapaza sauti yake akasema, “Baba, mikononi mwako naikabidhi roho yangu.” Baada ya kusema haya, akakata roho.
Luka 23:46 keşfedin
5
Luka 23:33
Walipofika mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, hapo ndipo walimsulubisha Yesu pamoja na hao wahalifu, mmoja upande wake wa kuume, na mwingine upande wake wa kushoto.
Luka 23:33 keşfedin
6
Luka 23:44-45
Ilikuwa kama saa sita mchana, nalo giza likafunika nchi yote hadi saa tisa, kwa sababu jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili.
Luka 23:44-45 keşfedin
7
Luka 23:47
Yule jemadari alipoona yaliyotukia, akamsifu Mungu, akasema, “Hakika, mtu huyu alikuwa mwenye haki.”
Luka 23:47 keşfedin
Ana Sayfa
Kutsal Kitap
Okuma Planları
Videolar