1
Mattayo MT. 15:18-19
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo najis mwana Adamu. Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, mauaji, mazini, asharati, uizi, ushuhuda wa uwongo, na matukano
Paghambingin
I-explore Mattayo MT. 15:18-19
2
Mattayo MT. 15:11
Sicho kiingiacho kinywani kimtiacho najis mwana Adamu; bali kitokacho kinywani ndicho kimtiacho najis mwana Adamu.
I-explore Mattayo MT. 15:11
3
Mattayo MT. 15:8-9
Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao, Na kwa midomo yao huniheshimu; Bali mioyo yao iko mbali yangu. Nao waniabudu ibada ya burre. Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wana Adamu.
I-explore Mattayo MT. 15:8-9
4
Mattayo MT. 15:28
Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Ee mwanamke, imani yako kubwa; pata utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.
I-explore Mattayo MT. 15:28
5
Mattayo MT. 15:25-27
Nae akaja akamsujudia, akinena. Bwana, nisaidie. Akajibu akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndio, Bwana, illakini hatta mbwa hula makombo yaangukayo mezani pa bwana zao.
I-explore Mattayo MT. 15:25-27
Home
Biblia
Mga Gabay
Mga Palabas