YouVersion Logo
Китоби МуқаддасНақшаҳоВидео
Get the app
Language Selector
Search Icon

Popular Bible Verses from Mathayo 1

1

Mathayo 1:21

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Atamzaa mwana, nawe utamwita Yesu. Utampa jina hilo Yesu kwa sababu yeye atawaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”

Муқоиса

Explore Mathayo 1:21

2

Mathayo 1:23

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

“Sikiliza! Msichana bikira atapata mimba na atazaa mwana. Huyo watampa jina la Imanueli.” (Yaani “Mungu yu pamoja nasi”.)

Муқоиса

Explore Mathayo 1:23

3

Mathayo 1:20

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Lakini baada ya Yusufu kuliwazia jambo hili, Malaika wa Bwana alimjia katika ndoto na akamwambia, “Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu awe mke wako. Mimba aliyonayo ameipata kwa uweza wa Roho Mtakatifu.

Муқоиса

Explore Mathayo 1:20

4

Mathayo 1:18-19

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Kuzaliwa kwa Yesu Masihi, kulikuwa hivi: Mariamu mama yake alikuwa amechumbiwa na Yusufu. Kabla hawajaoana, Yusufu aligundua kuwa Mariamu alikuwa mja mzito. (Yeye alipata mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.) Kwa kuwa Yusufu alitaka kufanya kile kilichokuwa, alikusudia kumwacha Mariamu kwa siri bila ya kumvunjia heshima.

Муқоиса

Explore Mathayo 1:18-19

Нақшаҳои хониши ройгон ва садоқатҳои марбут ба Mathayo 1

Боби навбати
YouVersion

Encouraging and challenging you to seek intimacy with God every day.

Ministry

Дар бораи

Careers

Ихтиёрӣ

Блог

Пахш кунед

Useful Links

Кӯмак

Хайрия кардан

Bible Versions

Audio Bibles

Забонҳои Китоби Муқаддас

Ояти Рӯз


A Digital Ministry of

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

Сиёсати МахфӣШартҳо
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Асосӣ

Китоби Муқаддас

Нақшаҳо

Видео