1
Mwanzo 15:6
Biblia Habari Njema
Abramu akamwamini Mwenyezi-Mungu, naye Mwenyezi-Mungu akamkubali Abramu kuwa mwadilifu.
సరిపోల్చండి
Mwanzo 15:6 ని అన్వేషించండి
2
Mwanzo 15:1
Baada ya mambo hayo, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Abramu katika maono, “Abramu! Usiogope! Mimi ni ngao yako. Tuzo lako litakuwa kubwa!”
Mwanzo 15:1 ని అన్వేషించండి
3
Mwanzo 15:5
Hapo Mwenyezi-Mungu akamleta Abramu nje na kumwambia, “Tazama mbinguni! Zihesabu nyota, kama kweli utaweza kuzihesabu! Hivyo ndivyo wazawa wako watakavyokuwa wengi!”
Mwanzo 15:5 ని అన్వేషించండి
4
Mwanzo 15:4
Ndipo Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Huyu hatakuwa mrithi wako! Mwanao halisi ndiye atakayekuwa mrithi wako.”
Mwanzo 15:4 ని అన్వేషించండి
5
Mwanzo 15:13
Hapo Mwenyezi-Mungu akamwambia Abramu, “Ujue hakika ya kwamba wazawa wako watakaa kama wageni katika nchi isiyo yao, watakuwa watumwa na watateswa kwa muda wa miaka 400.
Mwanzo 15:13 ని అన్వేషించండి
6
Mwanzo 15:2
Lakini Abramu akasema, “Ee Mwenyezi-Mungu, utanipa nini hali naendelea kuishi bila mtoto, na mrithi wangu ni Eliezeri wa Damasko?
Mwanzo 15:2 ని అన్వేషించండి
7
Mwanzo 15:18
Siku hiyo, Mwenyezi-Mungu akafanya agano na Abramu akisema, “Wazawa wako ninawapa nchi hii, toka mto wa Misri hadi ule mto mkubwa wa Eufrate
Mwanzo 15:18 ని అన్వేషించండి
8
Mwanzo 15:16
Wazawa wako watarudi hapa katika kizazi cha nne, kwa sababu uovu wa Waamori haujakamilika bado.”
Mwanzo 15:16 ని అన్వేషించండి
హోమ్
బైబిల్
ప్రణాళికలు
వీడియోలు