1
Mwanzo 13:15
Biblia Habari Njema
Nchi hii yote unayoiona nitakupa wewe na wazawa wako iwe yenu milele.
సరిపోల్చండి
Mwanzo 13:15 ని అన్వేషించండి
2
Mwanzo 13:14
Baada ya Loti kujitenga na Abramu, Mwenyezi-Mungu akamwambia Abramu, “Angalia toka hapo ulipo utazame pande zote: Kaskazini, Kusini, Mashariki na Magharibi.
Mwanzo 13:14 ని అన్వేషించండి
3
Mwanzo 13:16
Wazawa wako nitawafanya wawe wengi wasiohesabika, kama vile mavumbi ya nchi yasivyoweza kuhesabika!
Mwanzo 13:16 ని అన్వేషించండి
4
Mwanzo 13:8
Basi, Abramu akamwambia Loti, “Kusiwe na mafarakano kati yetu wala kati ya wachungaji wako na wachungaji wangu, kwa sababu sisi ni jamaa moja.
Mwanzo 13:8 ని అన్వేషించండి
5
Mwanzo 13:18
Kwa hiyo, Abramu akangoa hema, akaenda kukaa karibu na mialoni ya Mamre kule Hebroni; huko akamjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu.
Mwanzo 13:18 ని అన్వేషించండి
6
Mwanzo 13:10
Loti akatazama, akaliona bonde la mto Yordani, akaona kuwa lina maji ya kutosha kila mahali, kama bustani ya Mwenyezi-Mungu na kama nchi ya Misri upande wa Soari. (Hii ilikuwa kabla Mwenyezi-Mungu hajaiangamiza miji ya Sodoma na Gomora).
Mwanzo 13:10 ని అన్వేషించండి
హోమ్
బైబిల్
ప్రణాళికలు
వీడియోలు