1
Yohana 7:38
Swahili Roehl Bible 1937
Mwenye kunitegemea, kama yalivyoandikwa, mwilini mwake yeye mtatoka mito ya maji yenye uzima.
సరిపోల్చండి
Yohana 7:38 ని అన్వేషించండి
2
Yohana 7:37
Siku ya mwisho iliyokuwa kubwa katika sikukuu Yesu alikuwa amesimama, akapaza sauti akisema: Mtu akiwa na kiu na aje kwangu, anywe!
Yohana 7:37 ని అన్వేషించండి
3
Yohana 7:39
Hivyo alisema kwa ajili ya Roho, watakayepewa waliomtegemea; kwani Roho alikuwa hajaonekana bado, kwa sababu Yesu alikuwa hajaupata utukufu wake.*
Yohana 7:39 ని అన్వేషించండి
4
Yohana 7:24
Msiumbue kwa hivyo tu, mnavyoviona, ila umbueni maumbufu yapasayo!
Yohana 7:24 ని అన్వేషించండి
5
Yohana 7:18
Mwenye kuyasema yake hutafuta, atukuzwe yeye mwenyewe; lakini mwenye kutafuta, aliyemtuma atukuzwe, huyo ni mtu wa kweli, upotovu wo wote haumo moyoni mwake.
Yohana 7:18 ని అన్వేషించండి
6
Yohana 7:16
Yesu akawajibu, akasema: Mafundisho yangu siyo yangu, ni yake yeye aliyenituma.
Yohana 7:16 ని అన్వేషించండి
7
Yohana 7:7
Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mimi hunichukia, kwani naushuhudia, ya kuwa matendo yake ni mabaya.
Yohana 7:7 ని అన్వేషించండి
హోమ్
బైబిల్
ప్రణాళికలు
వీడియోలు