1
Yohana 3:16
Swahili Roehl Bible 1937
*Kwani kwa hivyo, Mungu alivyoupenda ulimwengu, alimtoa Mwana wake wa pekee, kila amtegemeaye asiangamie, ila apate uzima wa kale na kale.
సరిపోల్చండి
Yohana 3:16 ని అన్వేషించండి
2
Yohana 3:17
Kwani Mungu hakumtuma Mwana wake ulimwenguni, auhukumu ulimwengu, ila ulimwengu upate kuokolewa naye.
Yohana 3:17 ని అన్వేషించండి
3
Yohana 3:3
Yesu akajibu, akamwambia: Kweli kweli nakuambia: Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.
Yohana 3:3 ని అన్వేషించండి
4
Yohana 3:18
Amtegemeaye hahukumiwi; asiyemtegemea amekwisha kuhukumiwa, kwani hakulitegemea Jina la Mwana wa Pekee wa Mungu
Yohana 3:18 ని అన్వేషించండి
5
Yohana 3:19
Nayo hukumu ndiyo hii: mwanga ulikuja ulimwenguni, lakini watu waliipenda giza kuliko mwanga, kwa sababu matendo yao yalikuwa mabaya
Yohana 3:19 ని అన్వేషించండి
6
Yohana 3:30
Yeye sharti akue, nami sharti nipunguke.
Yohana 3:30 ని అన్వేషించండి
7
Yohana 3:20
kwani kila mwenye kutenda maovu huuchukia mwanga, haji mwangani, matendo yake yasipatilizwe
Yohana 3:20 ని అన్వేషించండి
8
Yohana 3:36
Amtegemeaye Mwana anao uzima wa kale na kale, lakini asiyemtii Mwana hataona uzima, ila makali ya Mungu humkalia.
Yohana 3:36 ని అన్వేషించండి
9
Yohana 3:14
Kama Mose alivyokweza nyoka jangwani, vivyo hivyo hata Mwana wa mtu sharti akwezwe
Yohana 3:14 ని అన్వేషించండి
10
Yohana 3:35
Baba humpenda Mwana, akampa yote mkononi mwake.
Yohana 3:35 ని అన్వేషించండి
హోమ్
బైబిల్
ప్రణాళికలు
వీడియోలు