1
Marko 1:35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Asubuhi na mapema, ilipokuwa giza na bado hakujapambazuka, Yesu aliamka na kutoka kwenye nyumba ile na kwenda mahali ili awe peke yake na kuomba.
సరిపోల్చండి
Marko 1:35 ని అన్వేషించండి
2
Marko 1:15
Akasema, “Wakati umefika. Ufalme wa Mungu umewafikia. Mbadili mioyo yenu na maisha yenu, na kuiamini habari njema!”
Marko 1:15 ని అన్వేషించండి
3
Marko 1:10-11
Mara tu aliposimama kutoka ndani ya maji, Yesu aliona mpasuko ukitokea angani, akamwona Roho akishuka chini kuja kwake kama njiwa. Sauti ikasikika toka mbinguni, “Wewe ni mwanangu, ninayekupenda, napendezwa nawe sana.”
Marko 1:10-11 ని అన్వేషించండి
4
Marko 1:8
Mimi nawabatiza katika maji, lakini yeye huyo atawabatiza katika Roho Mtakatifu.”
Marko 1:8 ని అన్వేషించండి
5
Marko 1:17-18
Yesu akawaambia, “njooni mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa aina nyingine, nitawafundisha jinsi ya kukusanya watu badala ya samaki.” Mara moja, Simoni na Andrea wakaziacha nyavu zao na kumfuata.
Marko 1:17-18 ని అన్వేషించండి
6
Marko 1:22
Walishangaa sana namna alivyokuwa akifundisha. Hakufundisha kama walimu wao wa sheria; alifundisha kwa mamlaka.
Marko 1:22 ని అన్వేషించండి
హోమ్
బైబిల్
ప్రణాళికలు
వీడియోలు