1
Luka 23:34
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Na Yesu alikuwa anasema, “Baba uwasamehe watu hawa, kwa sababu hawajui wanalofanya.” Askari waligawana nguo zake kwa kutumia kamari.
సరిపోల్చండి
Luka 23:34 ని అన్వేషించండి
2
Luka 23:43
Yesu akamwambia, “Ninakwambia kwa uhakika, leo utakuwa pamoja nami Paradiso.”
Luka 23:43 ని అన్వేషించండి
3
Luka 23:42
Kisha akamwambia Yesu, “Unikumbuke utakapoanza kutawala kama mfalme!”
Luka 23:42 ని అన్వేషించండి
4
Luka 23:46
Yesu alipaza sauti akasema, “Baba, ninaiweka roho yangu mikononi mwako!” Baada ya Yesu kusema haya, akafa.
Luka 23:46 ని అన్వేషించండి
5
Luka 23:33
Walipelekwa mahali palipoitwa “Fuvu la Kichwa.” Askari walimpigilia Yesu msalabani pale. Waliwapigilia misalabani wahalifu pia, mmoja aliwekwa upande wa kulia na mwingine kushoto kwa Yesu.
Luka 23:33 ని అన్వేషించండి
6
Luka 23:44-45
Ilikuwa yapata saa sita mchana, lakini kulibadilika kukawa giza mpaka saa tisa alasiri, kwa sababu jua liliacha kung'aa. Pazia ndani ya Hekalu lilichanika vipande viwili.
Luka 23:44-45 ని అన్వేషించండి
7
Luka 23:47
Mkuu wa askari wa Kirumi aliyekuwa pale alipoona yaliyotokea, alimsifu Mungu, akisema, “Ninajua mtu huyu alikuwa mtu mwema!”
Luka 23:47 ని అన్వేషించండి
హోమ్
బైబిల్
ప్రణాళికలు
వీడియోలు