1
Luka 19:10
Biblia Habari Njema
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
ஒப்பீடு
Luka 19:10 ஆராயுங்கள்
2
Luka 19:38
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
Luka 19:38 ஆராயுங்கள்
3
Luka 19:9
Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.
Luka 19:9 ஆராயுங்கள்
4
Luka 19:5-6
Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.” Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.
Luka 19:5-6 ஆராயுங்கள்
5
Luka 19:8
Lakini Zakayo akasimama, akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyanganya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”
Luka 19:8 ஆராயுங்கள்
6
Luka 19:39-40
Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!” Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”
Luka 19:39-40 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்