1
Yohane 7:38
Biblia Habari Njema
Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: ‘Anayeniamini mimi, mito ya maji ya uhai itatiririka kutoka moyoni mwake!’”
ஒப்பீடு
Yohane 7:38 ஆராயுங்கள்
2
Yohane 7:37
Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalumu. Yesu alisimama, akasema kwa sauti kubwa, “Aliye na kiu na aje kwangu anywe.
Yohane 7:37 ஆராயுங்கள்
3
Yohane 7:39
(Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado).
Yohane 7:39 ஆராயுங்கள்
4
Yohane 7:24
Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”
Yohane 7:24 ஆராயுங்கள்
5
Yohane 7:18
Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa ya yule aliyemtuma, huyo ni mwaminifu, na ndani yake hamna uovu wowote.
Yohane 7:18 ஆராயுங்கள்
6
Yohane 7:16
Hapo Yesu akawajibu, “Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.
Yohane 7:16 ஆராயுங்கள்
7
Yohane 7:7
Ulimwengu hauwezi kuwachukia nyinyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nashuhudia juu yake kwamba matendo yake ni maovu.
Yohane 7:7 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்