1
Yohana MT. 4:24
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Mungu ni roho, nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
ஒப்பீடு
Yohana MT. 4:24 ஆராயுங்கள்
2
Yohana MT. 4:23
Lakini saa inakuja, na sasa ipo, ambayo wenye ibada khalisi watamwabudu Baba katika roho na kweli: kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
Yohana MT. 4:23 ஆராயுங்கள்
3
Yohana MT. 4:14
walakini ye yote atakaekunywa maji yale nitakayompa mimi, hataona kiu milele, bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika hatta uzima wa milele.
Yohana MT. 4:14 ஆராயுங்கள்
4
Yohana MT. 4:10
Yesu akajibu akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, nae ni nani akuambiae, Nipe maji ninywe, ungalimwomba yeye, nae angalikupa maji yaliyo hayi.
Yohana MT. 4:10 ஆராயுங்கள்
5
Yohana MT. 4:34
Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenipeleka nikaimalize kazi yake.
Yohana MT. 4:34 ஆராயுங்கள்
6
Yohana MT. 4:11
Yule mwanamke akamwambia, Bwana, huna kitu cha kutekea na kisima kinakwenda chini sana; bassi, umeyapata wapi haya maji yaliyo hayi?
Yohana MT. 4:11 ஆராயுங்கள்
7
Yohana MT. 4:25-26
Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi (aitwae Kristo). Atakapokuja yeye, atatufunulia yote. Yesu akamwambia, Mimi nisemae nawe, ndiye.
Yohana MT. 4:25-26 ஆராயுங்கள்
8
Yohana MT. 4:29
Njoni, nitazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! haimkini huyu kuwa ndiye Kristo?
Yohana MT. 4:29 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்