1
Mwanzo 5:24
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Alikuwa mcha Mungu, akatoweka, kwa maana Mungu alimchukua.
ஒப்பீடு
Mwanzo 5:24 ஆராயுங்கள்
2
Mwanzo 5:22
Henoki alikuwa mcha Mungu. Baada ya kumzaa Methusela, Henoki aliishi miaka 300 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.
Mwanzo 5:22 ஆராயுங்கள்
3
Mwanzo 5:1
Ifuatayo ni orodha ya wazawa wa Adamu. Wakati Mungu alipomuumba binadamu, alimuumba kwa mfano wake.
Mwanzo 5:1 ஆராயுங்கள்
4
Mwanzo 5:2
Aliwaumba mwanamume na mwanamke, kisha akawabariki na kuwapa jina “Binadamu.”
Mwanzo 5:2 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்