1
Mwanzo 2:24
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Ndiyo maana mwanamume humwacha baba yake na mama yake, akaambatana na mkewe, nao wawili huwa mwili mmoja.
ஒப்பீடு
Mwanzo 2:24 ஆராயுங்கள்
2
Mwanzo 2:18
Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Si vizuri huyu mwanamume kuwa peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”
Mwanzo 2:18 ஆராயுங்கள்
3
Mwanzo 2:7
Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.
Mwanzo 2:7 ஆராயுங்கள்
4
Mwanzo 2:23
Ndipo huyo mwanamume akasema, “Naam! Huyu ni mfupa kutoka mifupa yangu, na nyama kutoka nyama yangu. Huyu ataitwa ‘Mwanamke’, kwa sababu ametolewa katika mwanamume.”
Mwanzo 2:23 ஆராயுங்கள்
5
Mwanzo 2:3
Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alipumzika baada ya kazi yake yote ya kuumba.
Mwanzo 2:3 ஆராயுங்கள்
6
Mwanzo 2:25
Huyo mwanamume na mkewe wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.
Mwanzo 2:25 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்