1
Mwanzo 12:2-3
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
“Nitakufanya taifa kubwa na nitakubariki, Nitalikuza jina lako, nawe utakuwa baraka. Nitawabariki wale wanaokubariki, na yeyote akulaaniye nitamlaani; na kupitia kwako mataifa yote duniani yatabarikiwa.”
ஒப்பீடு
Mwanzo 12:2-3 ஆராயுங்கள்
2
Mwanzo 12:1
BWANA alikuwa amemwambia Abramu, “Ondoka katika nchi yako, uache jamii yako na nyumba ya baba yako, uende hadi nchi nitakayokuonesha.
Mwanzo 12:1 ஆராயுங்கள்
3
Mwanzo 12:4
Hivyo Abramu akaondoka kama BWANA alivyokuwa amemwambia; naye Lutu akaondoka pamoja naye. Abramu alipoitwa aondoke Harani, alikuwa na umri wa miaka sabini na tano.
Mwanzo 12:4 ஆராயுங்கள்
4
Mwanzo 12:7
BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, “Nitawapa uzao wako nchi hii.” Hivyo hapo akamjengea madhabahu BWANA aliyekuwa amemtokea.
Mwanzo 12:7 ஆராயுங்கள்
முகப்பு
வேதாகமம்
வாசிப்புத் திட்டங்கள்
காணொளிகள்