Mit 4:7-13
![Mit 4:7-13 - Bora hekima, basi jipatie hekima;
Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu.
Umtukuze, naye atakukuza;
Atakupatia heshima, ukimkumbatia.
Atakupa neema kuwa kilemba kichwani;
Na kukukirimia taji ya uzuri.
Mwanangu, sikiliza, na kuzipokea kauli zangu;
Na miaka ya maisha yako itakuwa mingi.
Nimekufundisha katika njia ya hekima;
Nimekuongoza katika mapito ya unyofu.
Uendapo, hatua zako hazitadhiikika,
Wala ukipiga mbio hutajikwaa.
Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;
Mshike, maana yeye ni uzima wako.](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2F320x320%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fstatic-youversionapi-com%2Fimages%2Fbase%2F13352%2F1280x1280.jpg&w=640&q=75)
Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu. Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia. Atakupa neema kuwa kilemba kichwani; Na kukukirimia taji ya uzuri. Mwanangu, sikiliza, na kuzipokea kauli zangu; Na miaka ya maisha yako itakuwa mingi. Nimekufundisha katika njia ya hekima; Nimekuongoza katika mapito ya unyofu. Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa. Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.
Mit 4:7-13