Hab 3:16-19
![Hab 3:16-19 - Nikasikia, na tumbo langu likatetemeka,
Midomo yangu ikatikisika kwa sauti ile;
Ubovu ukaingia mifupani mwangu,
Nikatetemeka katika mahali pangu;
Ili nipate kuingoja ile siku ya dhiki,
Kundi lao washambuliao wakweapo juu ya watu.
Maana mtini hautachanua maua,
Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda;
Taabu ya mzeituni itakuwa bure,
Na mashamba hayatatoa chakula;
Zizini hamtakuwa na kundi,
Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng’ombe;
Walakini nitamfurahia BWANA
Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.
YEHOVA, aliye BWANA, ni nguvu zangu,
Yeye huifanya miguu yangu kuwa kama ya kulungu,
Naye ataniendesha katika mahali pangu palipoinuka.](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2F320x320%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fstatic-youversionapi-com%2Fimages%2Fbase%2F52509%2F1280x1280.jpg&w=640&q=75)
Nikasikia, na tumbo langu likatetemeka, Midomo yangu ikatikisika kwa sauti ile; Ubovu ukaingia mifupani mwangu, Nikatetemeka katika mahali pangu; Ili nipate kuingoja ile siku ya dhiki, Kundi lao washambuliao wakweapo juu ya watu. Maana mtini hautachanua maua, Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda; Taabu ya mzeituni itakuwa bure, Na mashamba hayatatoa chakula; Zizini hamtakuwa na kundi, Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng’ombe; Walakini nitamfurahia BWANA Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu. YEHOVA, aliye BWANA, ni nguvu zangu, Yeye huifanya miguu yangu kuwa kama ya kulungu, Naye ataniendesha katika mahali pangu palipoinuka.
Hab 3:16-19