Waroma 8:15
Waroma 8:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba.
Shirikisha
Soma Waroma 8Waroma 8:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Kwa maana, hamkumpokea Roho mwenye kuwafanya nyinyi watumwa tena na kuwatia hofu, bali mmempokea Roho mwenye kuwafanya nyinyi watoto wa Mungu, na kwa Roho huyo, sisi tunamwita Mungu, “Aba,” yaani “Baba!”
Shirikisha
Soma Waroma 8