Ufunuo 13:10
Ufunuo 13:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Aliyepangiwa kuchukuliwa mateka lazima atatekwa; wa kuuawa kwa upanga atauawa kwa upanga. Hivyo, watu wa Mungu na wawe na uvumilivu na imani.
Shirikisha
Soma Ufunuo 13Ufunuo 13:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mtu akichukua mateka, atachukuliwa mateka. Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga. Hapa ndipo penye subira na imani ya watakatifu.
Shirikisha
Soma Ufunuo 13