Ufunuo 13:1
Ufunuo 13:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha nikaona mnyama mmoja akitoka baharini. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kila pembe ilikuwa na taji. Jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo.
Shirikisha
Soma Ufunuo 13Ufunuo 13:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, alikuwa na pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya kukufuru.
Shirikisha
Soma Ufunuo 13Ufunuo 13:1 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.
Shirikisha
Soma Ufunuo 13Ufunuo 13:1 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Yule joka akajikita katika mchanga ulioko ufuoni mwa bahari. Nami nikamwona mnyama akitoka ndani ya bahari. Mnyama huyo alikuwa na pembe kumi na vichwa saba, akiwa na taji kumi kwenye hizo pembe zake, na juu ya kila kichwa kulikuwa na jina la kukufuru.
Shirikisha
Soma Ufunuo 13