Zaburi 88:9
Zaburi 88:9 Biblia Habari Njema (BHN)
macho yangu yamefifia kwa huzuni. Kila siku nakulilia, ee Mwenyezi-Mungu; ninakunyoshea mikono yangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 88Zaburi 88:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Jicho langu limefifia kwa ajili ya mateso BWANA, ninakuita kila siku; Ninakunyoshea Wewe mikono yangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 88