Zaburi 79:9
Zaburi 79:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Utusaidie, ee Mungu, mwokozi wetu; kwa heshima ya jina lako utuokoe na kutusamehe dhambi zetu, kwa ajili ya jina lako.
Shirikisha
Soma Zaburi 79Zaburi 79:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ee Mungu wa wokovu wetu, utusaidie, Kwa ajili ya utukufu wa jina lako. Utuokoe, utusamehe dhambi zetu, Kwa ajili ya jina lako.
Shirikisha
Soma Zaburi 79