Zaburi 43:1
Zaburi 43:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Onesha kuwa sina hatia ee Mungu; utetee kisa changu dhidi ya watu wabaya; uniokoe na watu waongo na waovu.
Shirikisha
Soma Zaburi 43Zaburi 43:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ee Bwana, unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, Uniokoe kutoka kwa mtu wa hila asiye haki.
Shirikisha
Soma Zaburi 43