Zaburi 42:5
Zaburi 42:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Mbona nasononeka hivyo moyoni? Kwa nini nahangaika hivyo ndani mwangu? Nitamtumainia Mungu, maana nitamsifu tena yeye aliye msaada wangu na Mungu wangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 42Zaburi 42:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumainie Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 42