Zaburi 4:1
Zaburi 4:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Ee Mungu mtetezi wa haki yangu, unijibu niombapo. Nilipokuwa katika shida, wewe ulinisaidia; unionee huruma na kusikia sala yangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 4Zaburi 4:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ee Mungu wa haki yangu, uniitikie niitapo; Uliniokoa nilipokuwa katika shida; Unifadhili na kuisikia sala yangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 4